Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SENEGAL

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika na Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Senegal Mhe.Yassine Fall ambaye amewasilisha Ujumbe Maalum wa Rais wa Senegal Mhe. Bassirou Diomaye Faye kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2025.










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.