Wawekezaji wa ndani wametakiwa kuendelea kubuni Miradi ya uwekezaji ili kusaidia upatikanaji wa huduma mbali mbali Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mradi wa uwekezaji wa Mgahawa, maduka na ...