Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa Kibweni Wilaya ya Magharibi Unguja baada ya Sala la Alasiri jioni leo saa.10.00.
Marehemu amefariki leo katika majira ya saa 8 45 katika Hospitaliu ya Lugalo Jijini Dar es Salaam
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuzikwa leo baada ya Sala ya Alasiri Kibweni Wilaya ya Magharibi Unguja.

No comments:
Post a Comment