Hawa vijana katika mji mmoja nchini Uingereza wanajidai wanasali wakiwa na Imam wa theluji waliemtengeneza wao wenyewe na kisha kumfuata wakiwa katika tashahhud (attahiyyaatu).Wengine wakionesha nyuso za tabasamu huku 'wanasali'
ARURA YAWATAKA WAKAZI WA MANISPAA YA MOROGORO KUACHA KUTUPA TAKA KWENYE
MIFEREJI
-
Farida Mangube, Morogoro.
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa
Morogoro Mhandisi Emmanuel Ndyamukama ametoa wito kwa waka...
5 minutes ago

4 Comments
wambiye wachezee walikotoka wasichezee dini limbukeni wa theliji
ReplyDeletehawakusoma dini yao ndiyo maana wanafanya thihaki kama hawana chakuchezeya wakawafunuwe mama zao wawachezee pumbavu
ReplyDeletekwa kuwa mko ulaya ndio mnaona mungu hayupo ama !!! sio nyinyi wa kwanza kufika huko !! chezee ma..v...zi sio mungu watovu wa adabu nyie
ReplyDeleteNyie bwana hamwajuwi hawa wahindi wa uk wao ndo wa mwanzo wanojenga miskiti kila pahala uk na wao ndo wanajifanya waislam wenye msimamo mkali, lakini huwezi amini unaweza kuingia mskitini ukamuona mtu kakaa nyumba ya imamu yaani (maamuma) kisha kavaa bonge la cheni na katoboa maskio yote mawili kavaa na herini, na hao hao ndo wenye maduka makubwa ya pombe, sasa apo jiulize wewe uislam uko wapi? ukipata jibu bas utapata jibu la uyo snow imam.
ReplyDelete