Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefunga Mafunzo ya Kozi ya Maofisa Wanafunzi wa JKU na KVZ Chuo cha Uongozi Cha JKU Dunga

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Kamanda Mkuu wa Idara za SMZ.Mhe.Hussein Ali Mwinyi, akipokea salamu ya heshima na kukaguwa gwaride la Maofisa Wapya wa Vikosi vya JKU na KVZ , wakati wa hafla ya ufungaji wa Mafunzo ya Kozi ya Maofisa hao. iliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Uongozi cha JKU Dunga Wilaya ya Kati Unguja  26-6-2025



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Kamanda Mkuu wa Idara Maalumu za SMZ.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Uongozi JKU Dunga Wilaya ya Kati Unguja , kwa ajili ya ufungaji wa Mafunzo ya Kozi ya Maofisa wa Vikosi vya JKU na KVZ , hafla hiyo iliyofanyika 26-6-2025.
























 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.