Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Azungumza Katika Hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1447 Hijria

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Masheikh mbalimbali wa Zanzibar, wakati wa hafla maalumu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mufti Mkuu na kuzindua Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 26-6-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Masheikh mbalimbali wa Zanzibar, wakati wa hafla maalumu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mufti Mkuu na kuzindua Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 26-6-2025.
BAADHI ya Masheikh wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na masheikh mbalimbali wa Zanzibar, wakati wa hafla maalumu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi hiyo Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 26-6-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wakati wa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1447 Hijria.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kaabi, baada ya kumazika kwa Kilele cha Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1447 Hijria, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja  26-6-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Masheikh mbalimbali wa Zanzibar, baada ya kumazika kwa Kilele cha Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu 1447 Hijria, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 26-6-2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.