Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameyafunga Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi Viwaja vya New Amaan Complex Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea banda la maonesho la ZURA wakati wa ufungaji wa maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi yaliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mipango Miji na Vijiji wa Kamisheni ya Ardhi Zanzibar. Mwarab Abdallah Mzee, wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, kabla ya ufungaji wa maonesho hayo, yanayofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Zanzibar  24-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, yaliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Zanzibar, akipata maelezo kutoka kwa CEO.wa Kampuni ya MB Homes Husseyin Buyukballi, wakati akitembelea maonesho hayo 24-6-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea banda la maonesho la ZURA wakati wa ufungaji wa maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi yaliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea banda la maonesho la Skuli ya Ufundi Mikunguni na kupata maelezo kutoka kwa Mwanafunzi Abdurahaman Ahmad Abdallah,wakati wa ufungaji wa maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, yaliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025.




RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali akiwa na Kitabu cha Muongozo wa Uthamini wa Mali na Malipo ya Fedha baada ya kikizindua rasmin, wakati wa ufungaji wa maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar leo 24-6-2025.

                        

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kayafunga Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, yaliyofanyika katika viwanja vya Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar  24-6-2025.

VIONGOZI mbalimbali na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuyafunga maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025
VIONGOZI mbalimbali na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuyafunga maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025.


VIONGOZI mbalimbali na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuyafunga maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Ardhi na Makaazi, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar 24-6-2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.