Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo da Vinci Jijini Roma nchini Italia leo tarehe 19 Juni 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Ubia wa Maendeleo kati ya Afrika na Serikali ya Italia (Mattei Plan) utakaofanyika tarehe 20 Juni 2025.
NCAA YATUMIA FURSA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII
-
Na Philomena Mbirika, Dodoma
Kufuatia maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma yanayoendelea katika
Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma, Mamlaka ya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment