Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki , wakiingia katika viwanja vya Masjid Mushawar Muembe Shauri Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuusalimia mwili wa mareheko kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkwajuni Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 29-3-2020.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijuika na Waumini wa Dini ya Kiislam
katika Sala ya kumuombea Marehemu Ramadhan Haji Faki Waziri Kiongozi na
Bregedia Jeneral Mstaaf, ikiongozwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar. Sheikh. Saleh Omar
Kabi, iliofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja,
leo 29-3-2020
No comments:
Post a Comment