Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Abdulhamid Ameir , kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akimuapisha Fatma Hamid Mahamoud, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo
Picha na Ramadhan Othman
Bilionea David Mulokozi Afanyiwa Birthday ya Kifalme, Banana Zoro Aitikisa
Babati
-
Na Mwandishi Wetu.
Babati, Manyara: Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wa Mati
Super Brands Ltd, Bilionea David Mulokozi, imegeuka kuwa somo ...
41 minutes ago



2 Comments
Mzee Mapara,
ReplyDeletePicha ya juu sio Mkusa. Huyo ni Abdulhamid Ameir Issa. Nadhani picha ya chini ndio Mkusa.
Ahsante Mdau tutarekebisha
ReplyDelete