Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
7 hours ago
0 Comments