Balozi wa Tanzania Nchini Msumbiji Mhe. Balozi CP Hamad Khamis Hamad alikutana na Mshauri wa Rais wa Msumbiji katika Masuala ya Uchumi na Maendeleo, Dkt. Mateus Magala na kuzungumza naye masuala mbalimbali ya ushirikiano katika Sekta ya Uchumi baina ya Tanzania na Msumbiji.
TADB, TWCC KUINUA WANAWAKE NA VIJANA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI
-
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Chama
cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) kwa lengo la kuwawezesha
wanawake n...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment