Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Bi. Triphonia Thadei Mng'ong'o hati ya kiwanja chake kilichopo Mtuba jijini Dodoma, alipotembelea Kliniki ya Ardhi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 12, 2025. Katikati ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KALLEIYA- VIONGOZI 20 CCM KIBAHA MJINI WAACHIA NGAZI KWA NIA YA KUGOMBEA
UDIWANI
-
Mwamvua Mwinyi, Kibaha
Viongozi 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani
Pwani—wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wa Jumuiya
mbali...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment