Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Bi. Triphonia Thadei Mng'ong'o hati ya kiwanja chake kilichopo Mtuba jijini Dodoma, alipotembelea Kliniki ya Ardhi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 12, 2025. Katikati ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Umoja wa Mataifa na Ubalozi wa Afrika Kusini Wafanya Huduma ya Jamii
Kurasini Kumuenzi Mandela
-
KILA mwaka Julai 18 dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
kwa kutenga angalau dakika 67 kufanya huduma ya kijamii, kama njia ya
kumuenzi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment