Habari za Punde

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KLINIKI YA ARDHI BUNGENI JIJINI DODOMA

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimkabidhi Bi. Triphonia Thadei Mng'ong'o hati ya kiwanja chake kilichopo Mtuba  jijini Dodoma, alipotembelea Kliniki  ya Ardhi  kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 12, 2025.  Katikati ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.