Habari za Punde

Mhe.Hemed Suleiman Abdullah Amechukua Fomu Kongombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani Pemba


Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Ndg.Hemed Suleiman Abdulla akichuchua fomu ya kugombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani Pemba akikabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Mkoani Pemba Ndg. Khamis Juma Omar.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.