Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amekabidhiwa Kombe la Ubingwa la Ligi Kuu ya NBC na Makombe Mbalimbali ya Ubingwa kwa Msimu Huu ya Yanga Afrika Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Husssein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kombe la Ubingwa la NBC Premer League 2024-2025, Timu ya Yanga Afrika imelichukuwa kwa mara ya nne, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 30-6-2025.


 


                       

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Yanga Afrika ilitowa Ubingwa wa Kombe la NBC Premer League 2024-2025, wakati wa kukabidhiwa Makombe mbalimbali ya Ubingwa ya Timu hiyo iliyoyanyakuwa katika msimu huu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 30-6-2025.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.