Menu

Thursday, September 11, 2025

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yakabidhi Vyeti Vya Uteuzi Kwa Wagombea 11 wa Urais wa Zanzibar Kwa Mwaka 2025 na Gari Kwa Ajili ya Matumizi ya Kampeni

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji Goerge Joseph Kazi akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Vyeti vya Uteuzi wa Wagombea Kiti cha Urais wa Zanzibar na Magari kwa ajili ya kuyatumia katika Kampeni zao za kuwania Urais wa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Maisara Wilaya ya Mjini Unguja leo 11-9-2025. 
Wagombea Urais wa Zanzibar  wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji Goerge Joseph Kazi akizungumza na kutaja majina ya Wagombea 11 waliteuliwa  kugombea Kiti cha Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2025, hafla hiyo iliyofanyika katika Afisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Maisara Wila ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 11-9-2025.










 


































No comments:

Post a Comment