Mhe. Shaaban Khamis Mloo, amefariki dunia, nyumbani kwake, mjini Zanzibar. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika leo leo saa 10.00 alasiri huko huko Zanzibar.Marehemu Mzee Mloo alikuwa katibu mkuu wa kwanza wa CUF kwa miaka nane, kutoka 1992 hadi 2000 alipochukua nafasi ya umakamo mwenyekiti hadi alistaafu mwaka 2004. Yeye ndiye miongoni mwa waasisi wa Chama hiki
WAZIRI NANAUKA -SERIKALI ITAENDELEA KUVIPA KIPAUMBELE VIKUNDI
VINAVYOREJESHA MIKOPO
-
Na Oscar Assenga,Muheza, Tanga
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel
Nanauka amesema serikali itaendelea kuvipa kipaumbe...
5 minutes ago
0 Comments