Waokoaji wakiwa katika harakati za kuondoa kifusi ili kuuondoa mwili wa kijana aliyeangukiwa na kifusi akiwa katika harakati za kutoa boriti ili kwenda kuuza.
Askari wa vikosi vya uokoaji vya Zima Moto na JWTZ wakishirikiana kuondoa kifusi ili kuuondoa mwili wa kijana aliefunikwa. Nyumba hii inasemekana ilianza kubomoka miezi miwli iliyopita .
Wananchi pamoja na watoto wakifuatilia kwa karibu. Awali nyumba hii ilipobomoka takriban miezi miwili iliyopita haikuleta madhara yoyote.
MATUKIO KATIKA PICHA
-
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Ndugu Bakari Machumu akiwa kwenye
picha na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
ambaye p...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
2 Comments
Salam mkuu, pole kwa kazi. maoni ni kua ubadilishe rangi ya text hizo nyekundu zinaumiza macho kwa sababu hazionekani vizuri.
ReplyDeletekazi njema
Sawa mkuu
ReplyDeleteTumekusikia na tutafanya marekebisho