
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM na Makamo wa Rais wa Tanzania Dk Ali Mohammed Shein akizindua Ilani ya CCM katika uzinduzi wa Kampeni leo.

Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akimkabidhi Ilani ya ya Chama cha Mapinduzi,Mgombea Urais wa Zanzibar,na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Ali Mohammed Shein, wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM viwanja vya Demokrasia Kibandamaiti Mjini Unguja

Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akiteta jambo na mgombea Urais wa Zanzibar kwa upande wa CCM Dk Ali Mohammed Shein,wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM viwanja vya Demokrasia Kibandamaiti Mjini Unguja.
0 Comments