Dk Shein akikabidhiwa zawado ya mchoro wa Ikulu ya Zanzibar na mmoja wa akinamama.
Rais wa Zanzibar a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akipokea maandamano ya Umoja wa wanawake wa Mikoa mitano ya Zanzibar, katika Viwanja vya Kisonge, Michenzani Mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Miohammed Shein akiwahutubia akinamama wa mikoa mitano ya Zanzibar
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
9 hours ago
0 Comments