WAKULIMA wa matunda ya Embe wakiwa sokoni Mwanakwerekwe wakisubiri wateja wa bidhaa hiyo ambayo ni msimu wake huu wa embe za aina hii ya shomari tenga moja liliuzwa shilingi 12000/=.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
19 minutes ago
0 Comments