Baadhi ya Viongozi wa CCM wilaya ya Magharibi wakimsikiliza DK Shein katika ziara yake ya kuwashukuru
Dk Shein akisalimia moja katika burudani zilizoandaliwa wakati akiwasili
Dk Shein akisajili kitabu cha wageni huku akishuhudiwa na mkewe Mama Mwanamema Shein.
Viongozi waandamizi wa CCM pia walkuwepo, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Saleh Ramadhan Feruzi na Bi Fatma Abdullah Juma
Dk Shein akiteta jambo na Naibu katibu mkuu wa CCM Saleh Ramadhan Feruzi.
Mama Mwanamwema Shein akiwasalimia WanaCCM wa wilaya ya magharibi
Baadhi ya viongozi wa Wilaya ya magharibi wakimsikiliza kwa makini DK Shein wakati akiwashukuru.
Picha zote na Ramadhan Othman.
TRA YAANZA KUCHUKUA HATUA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
-
KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Yusuph Mwenda amesema
Mamlaka hiyo tayari imeanza kuchukua hatua kuelekea kuanza kutumika kwa
utaratibu m...
3 hours ago
0 Comments