6/recent/ticker-posts

DK SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na  Balozi wa China Nchini Tanzania, Liu Xinsheng aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar jana
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa China Nchini Tanzania, Liu Xinsheng aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar jana, kuonana na Rais
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akifuatana na Mgeni wake Balozi wa China Nchini Tanzania, Liu Xinsheng aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagana na Mgeni wake Balozi wa China Nchini Tanzania, Liu Xinsheng aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar jana.

Picha na Ramadhan Othman

Post a Comment

0 Comments