6/recent/ticker-posts

MADHARA YA KUCHIMBWA MCHANGA

KUNA baadhi ya Wananchi wanakiuka sheria ya kuhifadhi mazingira  ya maeneo yao na kusababisha uharibifu wa mazingira  kama kulivyokutwa na mzee wa blog eneo la nyuma ya uwanja wa amani makazi ya wananchi kukiwa kumechimbwa mchanga na kuiweka katika hali ya hatari nguzo ya umeme ilioko karibu na sehemu hiyo.

Post a Comment

0 Comments