WAHITIMU wa Chuo kikuu cha Elimu Chuklwani wakisoma majina yao katika orodha ya Wahitimu wanaokabidhi shahada zao baada ya kumaliza masomo yao
WAHITIMU wa somo la Lugha ya Kiarabu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akitowa nasaha zake kwa wahitimu hao wakati wa mahafali ya chuo hichoBAADHI ya Walimu wa Chuo cha Kikuu cha Elimu Chukwani wakishuhudia mahafali ya chuo hicho
WAGENI na baadhi ya Mawaziri na Mabalozi waalikwa wakifuatilia sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliofanyika chuoni hapo Chukwani
WANAFUNZI wa Chuo Cha Elimu Chukwani wakionesha mchezo wakati wa Mahafali hayo chuoni hapo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisoma kitabu cha ratiba ya mahafali ya chuo hicho.
MWENYEKITI wa Baraza la Chuo Dk. Abdurrahaman Al- Muhilani akitowa maelezo mafupi juu ya mahafali hayoMAKAMU Mwenyekiti Profesa Mahdi Satt kutoka Sudan akitowa nasaha zake kwa Wahitimu wa Chuo hicho.
BAADHI ya wanafunzi wa na Wageni walioalikwa kuhudhuria mahafali ya chuo hicho leo
0 Comments