WAFANYAKAZI wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakiondowa mapambo ya Bendera za Vyama vya Siasa waliyobandika katika baadhi ya barabara wakati wa kushingiria Ushindi wa Uchaguzi wa Zanzibar uliofanyika Mwaka jana wakiwa katika makutano ya Barabara za Michezani
JAI Yagawa Chakula cha Zaidi ya Kilo 500 kwa Wagonjwa Muhimbili na
Mloganzila
-
Taasisi ya Jumuiya ya Tabia za Kiislamu (JAI) imetoa msaada wa chakula
chenye uzito wa zaidi ya kilo 500 kwa wagonjwa na ndugu wanaowahudumia
katika Hospit...
11 minutes ago
0 Comments