6/recent/ticker-posts

MAALIM RAJAB MGENI HATUNAYE TENA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,(wa tano kulia)akishiriki katika kumsalia Marehemu Maalim Rajab Mgeni katika msikiti wa Mwembe shauri na kuzikwa jana Mangapwani.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein, akitia udongo katika kaburi,wakati wa maziko ya  Marehemu Maalim Rajab Mgeni yaliyofanyika jana kijijini kwao Mangapwani Wilaya ya kaskazini B Unguja

Picha na Ramadhan Othman

Post a Comment

0 Comments