6/recent/ticker-posts

MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI .

 MKURUGENZI wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar DJ. Yussuf  akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Nje na Ndani jinsi ya kukamilika kwa taratibu zote za tamasha hilo na kuvitaja vikundi vitakavyoshirika kwa mwaka huu, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mansoon  Forodhani.  
MENEJA wa Kampuni ya Simu za Mikononi Zanzibar ZANTEL Nahaat Mahfoudh. akitowa maelezo juu ya kampuni yao kuwa wadhamini wakubwa wa Tamasha hili na jinsi walivyofanikisha udhamini wao, wakati wa mkutano na waandishi wa habari.

Post a Comment

0 Comments