Wanafunzi wa Madrasatul Sunna ya Rahaleo wakifanya mtihani wa Dua ili kupata kujuwa uweleo wao katika mafundisho ya Dini ya Kiislam, wakifanya mitihani hiyo katika Masjid Sunna Rahaleo kwa Bachu.
TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano
ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kw...
7 hours ago
0 Comments