Baadhi ya Watu hufanya uharibifu wa makusudi kuharibu, bla ya kujali athari yake kwa watumiaji wa barabara kwa kutowa vyuma vya kukingia ukingo wa barabara, kama inavyoonekana sehemu hii vyuma vyake vimetolewa na kuwachwa hali kama hii. huku ni kujenga au kuharibu.?
SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA
MADINI NCHINI TANZANIA
-
Mheshimiwa Dkt. Steven L. Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, akipokea kitabu
cha kumbukumbu (legacy book) kilichoandaliwa kuadhimisha miaka 25 ya Geita
Gold...
2 minutes ago
0 Comments