6/recent/ticker-posts

Waziri Samia Atembelea Bandari ya Zanzibar



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo Kuhusu Upakuwaji wa Makontena katika Bandari ya Zanzibar kwa Mkuu wa Mipango{ZPC]Ali Haji Haji wakati wa Ziara yake yakutembelea Miradi ya Maendeleo, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Bandari Bw Msanifu Haji Mussa na Maofisa wa Bandari ya Zanzibar[Picha na Ali Meja]

Post a Comment

0 Comments