Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais.
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
JAFO EDUCATION FOUNDATION YAFADHILI VIJANA 51 KUSOMA CHUO CHA FDC KISARAWE
– MZENGA
-
Na.Mwandishi Wetu
Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma
katika Chuo cha FDC Kisarawe - Mzenga, kwa lengo la kuwawe...
16 hours ago
0 Comments