Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Misri nchini Tanzania Hassan Moharam,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kwa ajili ya kujitambulisha kwa Rais.
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
Ushirikiano Utatu Tanzania na China wazindua Kituo cha Mafunzo ya Ustadi wa
Kitaalamu
-
Na Mwandishi Wetu
Chuo Kikuu cha Ardhi, Taasisi ya Ufundi ya Chongqing (CQVIE) kutoka nchini
China, pamoja na Kampuni ya ujenzi ya Kichina nchini ya Group ...
1 hour ago
0 Comments