Mdau unakumbuka zile enzi za maji haya yalivyokuwa? nsa kujaza watoto wengi katika maeneo haya kwa kutazama maji ya ragi yalivyokuwa yakipendeza kwa rangi mbalimbali na kupamba Magorofa ya michezani na round abuot hiyo.
HAKIKISHENI MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA HAUSIMAMI - DKT MWIGULU
-
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi
wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze
kutoa hud...
7 hours ago
2 Comments
je majumbani yanatoka kaka ?
ReplyDeleteHa ha ha Na hilo nalo neno.
ReplyDeleteHaya yakishajaa huwa yanahifadhiwa. Lakini ya majumbani yakishatumiwa hupotea kaka. Tutafika lakini..