Mwananchi akiwa juu ya rukwana lake akijipatia habari mbalimbali za matukio kupitia gazeti la zanzibar leo, akiwa katika eneo lake la kazi akisubiri boti ya asubuhi kutoka Dar-es- Salaam.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
48 minutes ago
0 Comments