Mdau wangu akiwa katika jiwe akijiendeleza na biashara ya matunda katika mitaa ya Rahaleo, inabidi vijana tujitume katika biashara ili tujikombeo kimapato na kiuchumi.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
3 hours ago
0 Comments