MKURUGENZI wa Taasisi ya Kiswahili na lugha za Kigeni Zanzibar (TAKILUKI), Mmanga Mjengo Mjawiri (kulia) akimkabidhi cheti, Hawaa Rajab mkufunzi wa somo la kijerumani chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) baada ya kumaliza mafunzo ya siku tano ya utayarishaji wa vifaa vya kufundishia Kiswahili kwa wageni yaliyofanyika chuoni hapo Vuga mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).
WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUTAMBUA WAJIBU WAO ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI.
-
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Regina Qwaray akizungumza na watumishi Umma wa Halmashauri ya
Mji na bab...
42 minutes ago
0 Comments