Wananchi wakiangalia ugovi uliosabaishwa na madereva hawa kusababisha ajali iliozikutanisha gari mbili ya Daladala aina Haice na Toyota, iliotokea katika barabara ya Mwanakwerekwe. Na kusababisha ugovi huu kila mmoja akidai mwezake ni mkosa na kusababisha ajali hii,
RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA PEMBE YA AFRIKA
NÀ BAHARI NYEKUNDU
-
RAIS Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum
wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, jukumu
li...
3 hours ago
0 Comments