Wananchi wakiangalia ugovi uliosabaishwa na madereva hawa kusababisha ajali iliozikutanisha gari mbili ya Daladala aina Haice na Toyota, iliotokea katika barabara ya Mwanakwerekwe. Na kusababisha ugovi huu kila mmoja akidai mwezake ni mkosa na kusababisha ajali hii,
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
7 hours ago
0 Comments