AFISA Uhusiano wa PPF Anthony Mtaka (kushoto) akimkabidhi seti za jezi, Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Pereira Ame Silima, kwa ajili ya timu za jimbo lake ili kudumisha michezo kwa Vijana wa jimbo hilo, wakati wa mchezo wa Fainal wa Kombe la Mbunge, makabidhiano hayo yamefanyika katika uwanja wa mpira wa Avyenja Chumbuni.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
39 minutes ago
0 Comments