~Rais wa Jumuia ya waTanzania DMV Mh. Iddi Sandaly, wakwanza kushoto, Waheeda Margaret Gathesha, Chief wa swahilivilla Abou Shatry, Aunt Rehema, pamoja na Salma Jay Jay pia alikuwepo katika matembezi ya kupigana na ujongwa wa saratani ya maziwa hapa Washington DC.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
1 hour ago
0 Comments