MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk.Mustafa A.Garu kulia,akibadilishana hati za utekelezaji wa Mradi wa Maji safi katika kisiwa cha Pemba na mwakilishi wa Kampuni ya Sino Hydro Cooperation ya China Qin Chao baada ya kutiliana saini mradi huo katika hoteli ya Bwawani jana,nyuma yao ni wajumbe wa bodi ya Mamlaka hiyo,(Picha na Abdallah Masangu).
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJI 15 KILA JIMBO
-
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya
Nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kasi ya utekeleza...
3 minutes ago
0 Comments