Wadau wote napenda kuwatangazia kuwa nimefungua blog yangu ambayo itakuwa ikitoa taarifa za matukio mbalimbali hapa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Naomba wadau wote msaidie kukuza blog hii kwa maendeleo ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. blog yenyeni ni http://www.kweupe.blogspot.com/.
TCD Yaendelea Kuunganisha Vyama vya Siasa Kujadili Masuala ya Taifa
-
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ahmed akizungumza jijini Dar es
Salaam Machi 13, 2026 katika hafla ya futari kwa Waislam na Wakristu
iliyoandali...
2 hours ago
0 Comments