Waziri wa nchi Afisi ya Rais Mhe Dk Mwinyihaji Makame akiwa katika mazungumzo na waliokuwa watendaji wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki walipokea wakitoa taarifa mbambali za Jumuiya hiyo
Waliokuwa Wabunge la Afrika Mashariki wakimsikiliza Dk Mwinyihaji kwa makini ( hayupo pichani) walipokutana naye hivi karibuni katika warsha iliyoandaliwa na kitengo cha Diaspora
Baadhi ya watendaji wa desk la Diaspora na mahusiano ya kimataifa pia walishiriki katika kikao hicho
Wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika warsha iliyofanyika mwaka jana
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
10 hours ago
0 Comments