Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Umoja wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (TAHLISO) walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumatano Julai 4, 2012. Viongozi hawa walikuwa wakihudhuria kongamano la mabadiliko ya katiba lililokuwa linafanyika katika ukumbi wa Karimjee.
NMB Yatunukiwa Cheti cha Mwajiri Bora Tanzania kwa mara nyingine tena.
-
Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama taasisi kinara katika
usimamizi wa rasilimali watu baada ya kutambuliwa tena kama Mwajiri Bora
Tanz...
4 hours ago

0 Comments