Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo
katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,( kushoto) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi,pia Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahya Mzee
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo
katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,(wa nne kulia) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
TANZANIA YANG’ARA KIMATAIFA KWA USIMAMIZI BORA WA DENI LA SERIKALI
-
Na Joseph Mahumi, WF
Serikali ya Tanzania imeendelea kung’ara katika jukwaa la kimataifa baada
ya kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka katika Tuzo za Usima...
1 hour ago
0 Comments