Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo
katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,( kushoto) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi,pia Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahya Mzee
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo
katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,(wa nne kulia) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JAPAN, IFAD.
-
Na. Saidina Msangi na Joseph Mahumi, WF, Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya
mazungumzo kwa nyakati tofauti...
54 minutes ago
0 Comments