Jengo la Kurikodia Muziki Zanzibar ambalo limefanyiwa ukarabati mkubwakwa ajili ya kutowa huduma ya kurikodi muzika wa aina zote ambali tayari ukarabati wake umekamilika na asubuhi ya leo linatarajiwa kuzinduliwa Rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kwa ajii ya kuaza kutowa huduma hiyo baada ya kuzinduliwa leo.
KISIWA CHA SAANANE CHAADHIMISHA 'BIRTHDAY' MIAKA 10 YA SIMBA
-
Simba wa Keki maalum kwa ajili ya Simba wa Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha
Saanane akijiandaa kula keki maalum
Keki maalum kwa ajili ya Simba wa Hifadhi ya...
1 hour ago
0 Comments