Jengo la Kurikodia Muziki Zanzibar ambalo limefanyiwa ukarabati mkubwakwa ajili ya kutowa huduma ya kurikodi muzika wa aina zote ambali tayari ukarabati wake umekamilika na asubuhi ya leo linatarajiwa kuzinduliwa Rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kwa ajii ya kuaza kutowa huduma hiyo baada ya kuzinduliwa leo.
SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU ILI MTOTO WA KITANZANIA APATE HAKI YAKE YA
MSINGI YA ELIMU BORA - PROF. SHEMDOE
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe
amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inaendelea
kusimamia ub...
2 hours ago
0 Comments