Wanafunzi wa skuli mbalimbali katika manispa ya Zanzibar wamekuwa na buhudha wanayopata kwa usafiri wakati wa kurudi majumbani inabidi kuchukuwa muda mwingi vituoni kusubiri daladala, baadhi ya daladala hukataa kuwachukuwa kwa kudai nauli zao ni ndogo, na kuwachukuwa na kukaa katika vituo, kama walivyokutwa wanafunzi hawa wakiwa katika kituo cha daladala Michenzani wakati wa jioni wakisubiri usafiri huo kurudi majumbani. Inabidi taasisi husika kuchukuwa hatuwa za kuwakomboa wanafunzi katika usafiri
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago
0 Comments