Milango ya Zanzibar Door ni moja ya kivutio cha Mji Mkongwe wa Zanzibar kwa Wageni wanaofika katika mitaa hiyo kuangalia mitaa ya historia na wakazi wa Zanzibar hutumia milango hiyo kwa matumizi ya majengo yao ili kupendezesha majengo yao. Mloango kama huu huuzwa kati ya shilingi laki saba na kuendelea inategemeana na uzuri wa mlango wenyewe.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
2 hours ago
0 Comments