Mafundi wakiweka paipi ya maji kwa ajili ya kutowa huduma ya maji kwa Wananchi wa jimbo la Kikwajuni katika eneo la kikwajuni Mao Mhe, Masauni akishirikiana na Wananchi wa jimbo hilo kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa uhakika na salama.wakiweka paipu hiyo katika maeneo ya barabara ya mao.
UPATIKANAJI WA DAWA WAIMARIKA NCHINI
-
OWM-TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM– TAMISEMI) anayeshughulikia masuala ya Afya, Mhe. Dkt. Jafari ...
9 hours ago
0 Comments