Wananchi wa Zanzibar wakijitokeza katika Ofisi za ZBC kujipatia Vingamuzi vya Digital vya ZBC vinavyouzwa katika majengo la Rahaleo katika kituo cha Digital, tayari huduma hiyo inapatikana kwa wananchi waliopnunua vingamizi hivyo.kama Wananchi walivyokutwa na mpiga picha akishuhudia mauzo hayo yakifanyika. kwa kijaza fomu maalum kwa wateja wa ZBC
Nishati : Miradi Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia Ikamilike kwa Wakati - Dkt.
Mataragio
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia,
Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya
Petroli Tan...
4 hours ago
0 Comments