Mmoja wa Miti ya Historia katika mji wa Zanzibar ukiwemo huu na ule ulioko katika maeneo ya Mji Mkongwe Forodhani ikipendezesha mji wa Zanzibar kwa Watalii wanaotembela maeneo ya historia ya Zanzibar na kujionea kumbukumbu ya Zanzibar Ukiwa katika mazingira mazuri.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
9 hours ago
0 Comments